1 Mambo ya Nyakati 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wana wa Shimei walikuwa Shelomothi, Hazieli, na Harani, wana watatu. Hao walikuwa viongozi wa koo* za Ladani.
9 Wana wa Shimei walikuwa Shelomothi, Hazieli, na Harani, wana watatu. Hao walikuwa viongozi wa koo* za Ladani.