1 Mambo ya Nyakati 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hao ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na koo zao,* viongozi wa koo zao,* wale walioandikishwa na kuhesabiwa na kuorodheshwa kulingana na majina yao na ambao walitekeleza kazi ya utumishi wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi.
24 Hao ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na koo zao,* viongozi wa koo zao,* wale walioandikishwa na kuhesabiwa na kuorodheshwa kulingana na majina yao na ambao walitekeleza kazi ya utumishi wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi.