2 Samweli 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa kwamba, mfalme alipokaa katika nyumba yake mwenyewe+ na Yehova akawa amempa pumziko kutoka kwa adui zake wote kuzunguka pande zote,+ 1 Mambo ya Nyakati 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Je, Yehova, Mungu wenu, hayuko pamoja nanyi,+ na je, hakuwapa pumziko kuzunguka pande zote?+ Kwa maana ametia mkononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova+ na mbele ya watu wake.
7 Na ikawa kwamba, mfalme alipokaa katika nyumba yake mwenyewe+ na Yehova akawa amempa pumziko kutoka kwa adui zake wote kuzunguka pande zote,+
18 “Je, Yehova, Mungu wenu, hayuko pamoja nanyi,+ na je, hakuwapa pumziko kuzunguka pande zote?+ Kwa maana ametia mkononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova+ na mbele ya watu wake.