- 
	                        
            
            1 Mambo ya Nyakati 22:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        18 “Je, Yehova, Mungu wenu hayuko pamoja nanyi, na je, hajawapumzisha pande zote? Kwa maana aliwatia mikononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova na mbele ya watu wake. 
 
-