-
1 Mambo ya Nyakati 22:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “Je, Yehova, Mungu wenu hayuko pamoja nanyi, na je, hajawapumzisha pande zote? Kwa maana aliwatia mikononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova na mbele ya watu wake.
-