1 Mambo ya Nyakati 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Je, Yehova, Mungu wenu, hayuko pamoja nanyi,+ na je, hakuwapa pumziko kuzunguka pande zote?+ Kwa maana ametia mkononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova+ na mbele ya watu wake.
18 “Je, Yehova, Mungu wenu, hayuko pamoja nanyi,+ na je, hakuwapa pumziko kuzunguka pande zote?+ Kwa maana ametia mkononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova+ na mbele ya watu wake.