2 Samweli 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Daudi akaja Baal-perasimu,+ na Daudi akawapiga na kuwaua huko. Ndipo akasema: “Yehova amepenya katikati ya adui+ zangu mbele yangu, kama pengo lililofanyizwa na maji.” Ndiyo sababu alipaita mahali hapo jina Baal-perasimu.+ Zaburi 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+
20 Kwa hiyo Daudi akaja Baal-perasimu,+ na Daudi akawapiga na kuwaua huko. Ndipo akasema: “Yehova amepenya katikati ya adui+ zangu mbele yangu, kama pengo lililofanyizwa na maji.” Ndiyo sababu alipaita mahali hapo jina Baal-perasimu.+
2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+