1 Mambo ya Nyakati 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba mara tu Daudi alipoanza kukaa katika nyumba yake mwenyewe,+ Daudi akamwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku+ la agano la Yehova linakaa ndani ya vitambaa vya mahema.”+
17 Na ikawa kwamba mara tu Daudi alipoanza kukaa katika nyumba yake mwenyewe,+ Daudi akamwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku+ la agano la Yehova linakaa ndani ya vitambaa vya mahema.”+