8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.
29 Na mambo ya Daudi mfalme, ya kwanza na ya mwisho, yameandikwa katika maneno ya Samweli mwonaji+ na katika maneno ya nabii Nathani+ na katika maneno ya Gadi+ mwonaji,