1 Mambo ya Nyakati 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mara tu Daudi alipoanza kuishi katika nyumba yake mwenyewe,* alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku sanduku la agano la Yehova likiwa ndani ya vitambaa vya mahema.”+
17 Mara tu Daudi alipoanza kuishi katika nyumba yake mwenyewe,* alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku sanduku la agano la Yehova likiwa ndani ya vitambaa vya mahema.”+