-
2 Samweli 7:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Mfalme alipoanza kuishi katika nyumba yake mwenyewe*+ na baada ya Yehova kumpumzisha kutokana na maadui wake wote waliomzunguka, 2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 3 Nathani akamwambia mfalme: “Nenda ufanye jambo lolote lililo moyoni mwako, kwa sababu Yehova yuko pamoja nawe.”+
-