1 Wafalme 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na mwishowe siku za kufa kwa Daudi zikakaribia;+ naye akamwamuru Sulemani mwana wake, akisema: 1 Wafalme 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Daudi akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi.+ 1 Wafalme 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+
12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+