2 Mambo ya Nyakati 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Sulemani akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.+
31 Kisha Sulemani akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.+