2 Mambo ya Nyakati 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe Sulemani akalala pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+
31 Mwishowe Sulemani akalala pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+