14 Nalo sanduku la Mungu wa kweli likaendelea kukaa pamoja na nyumba ya Obed-edomu, nyumbani kwake+ kwa miezi mitatu; na Yehova akazidi kuibariki+ nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote.
25 Na Daudi+ na wale wanaume wazee wa Israeli+ na wakuu+ wa maelfu wakatembea kando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+