Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+

      Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+

  • Zaburi 68:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa nini ninyi, enyi milima yenye vilele, mnaendelea kutazama kwa wivu

      Mlima ambao Mungu ametamani kukaa ndani yake?+

      Naam, Yehova atakaa humo milele.+

  • Isaya 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+

  • Yoeli 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na damu yao ambayo niliiona kuwa ina hatia nitaiona kuwa haina hatia;+ Yehova naye atakuwa anakaa katika Sayuni.”+

  • Zekaria 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki