Zaburi 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+ Zaburi 68:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa nini ninyi, enyi milima yenye vilele, mnaendelea kutazama kwa wivuMlima ambao Mungu ametamani kukaa ndani yake?+Naam, Yehova atakaa humo milele.+ Isaya 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+ Yoeli 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na damu yao ambayo niliiona kuwa ina hatia nitaiona kuwa haina hatia;+ Yehova naye atakuwa anakaa katika Sayuni.”+ Zekaria 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.
16 Kwa nini ninyi, enyi milima yenye vilele, mnaendelea kutazama kwa wivuMlima ambao Mungu ametamani kukaa ndani yake?+Naam, Yehova atakaa humo milele.+
23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+
21 Na damu yao ambayo niliiona kuwa ina hatia nitaiona kuwa haina hatia;+ Yehova naye atakuwa anakaa katika Sayuni.”+
10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.