1 Wafalme 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+ Zaburi 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+ Isaya 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+ Mika 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+ Zekaria 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.
11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+
6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+
7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+
10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.