Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+

  • Zaburi 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+

      Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+

  • Isaya 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+

  • Mika 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zekaria 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki