Kutoka 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba wakati wa kesha la kuamkia asubuhi, Yehova akaanza kuiangalia kambi ya Wamisri kutoka ndani ya nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga+ kambi ya Wamisri. Zaburi 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+ Zaburi 143:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana nimekutegemea wewe.+Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+
24 Na ikawa kwamba wakati wa kesha la kuamkia asubuhi, Yehova akaanza kuiangalia kambi ya Wamisri kutoka ndani ya nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga+ kambi ya Wamisri.
5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+
8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana nimekutegemea wewe.+Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+