Zaburi 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+ Zaburi 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+ Zaburi 59:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+
8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+
16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+