Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na jina langu takatifu nitalijulisha katikati ya watu wangu Israeli, wala sitaliacha tena jina langu litiwe unajisi;+ na mataifa watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ Mtakatifu katika Israeli.’+

  • Hosea 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Efraimu atasema, ‘Nina nini tena na sanamu?’+

      “Hakika mimi mwenyewe nitatoa jibu, nami nitaendelea kumtazama.+ Mimi ni kama mberoshi wenye majani mengi.+ Matunda kwa ajili yako yatapatikana kwangu.”

  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki