7 Na jina langu takatifu nitalijulisha katikati ya watu wangu Israeli, wala sitaliacha tena jina langu litiwe unajisi;+ na mataifa watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ Mtakatifu katika Israeli.’+
“Hakika mimi mwenyewe nitatoa jibu, nami nitaendelea kumtazama.+ Mimi ni kama mberoshi wenye majani mengi.+ Matunda kwa ajili yako yatapatikana kwangu.”
2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+