Hosea 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ashuru yenyewe haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi.+ Na hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu: “Ee Mungu wetu!” kwa sababu ni kupitia wewe kwamba mvulana asiye na baba huonyeshwa rehema.’+ Matendo 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na wengi kati ya wale waliokuwa waamini wakawa wanakuja na kuungama+ na kueleza juu ya mazoea yao waziwazi.
3 Ashuru yenyewe haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi.+ Na hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu: “Ee Mungu wetu!” kwa sababu ni kupitia wewe kwamba mvulana asiye na baba huonyeshwa rehema.’+
18 Na wengi kati ya wale waliokuwa waamini wakawa wanakuja na kuungama+ na kueleza juu ya mazoea yao waziwazi.