Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.

  • Zaburi 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.

      Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+

      Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.

      Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+

  • Zaburi 68:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Baba ya wavulana wasio na baba na mwamuzi wa wajane+

      Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+

  • Zaburi 146:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+

      Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+

      Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+

  • Methali 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Mkombozi wao ana nguvu; yeye mwenyewe atatetea kesi yao dhidi yako wewe.+

  • Yakobo 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki