Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda. Zaburi 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+ Zaburi 68:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baba ya wavulana wasio na baba na mwamuzi wa wajane+Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+ Zaburi 146:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+ Methali 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Mkombozi wao ana nguvu; yeye mwenyewe atatetea kesi yao dhidi yako wewe.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.
14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+
9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+