Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.

  • Zaburi 146:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+

      Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+

      Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+

  • Yeremia 49:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waache wavulana wako wasio na baba.+ Mimi mwenyewe nitawahifadhi hai, na wajane wako watanitegemea mimi.”+

  • Hosea 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ashuru yenyewe haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi.+ Na hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu: “Ee Mungu wetu!” kwa sababu ni kupitia wewe kwamba mvulana asiye na baba huonyeshwa rehema.’+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki