Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda. Zaburi 146:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+ Yeremia 49:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waache wavulana wako wasio na baba.+ Mimi mwenyewe nitawahifadhi hai, na wajane wako watanitegemea mimi.”+ Hosea 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ashuru yenyewe haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi.+ Na hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu: “Ee Mungu wetu!” kwa sababu ni kupitia wewe kwamba mvulana asiye na baba huonyeshwa rehema.’+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+
18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.
9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+
11 Waache wavulana wako wasio na baba.+ Mimi mwenyewe nitawahifadhi hai, na wajane wako watanitegemea mimi.”+
3 Ashuru yenyewe haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi.+ Na hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu: “Ee Mungu wetu!” kwa sababu ni kupitia wewe kwamba mvulana asiye na baba huonyeshwa rehema.’+
6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+