Hosea 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ashuru haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi,+Na hatutaziambia tena kazi za mikono yetu, “Ee Mungu wetu!” Kwa sababu ni wewe unayemwonyesha yatima rehema.’+
3 Ashuru haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi,+Na hatutaziambia tena kazi za mikono yetu, “Ee Mungu wetu!” Kwa sababu ni wewe unayemwonyesha yatima rehema.’+