Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 47:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+

      Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+

  • Isaya 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+

  • Yeremia 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+

  • Ezekieli 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na juu ya anga lililokuwa juu ya kichwa chao kulikuwa na kitu kinachoonekana kama jiwe la yakuti,+ mfano wa kiti cha ufalme.+ Na juu ya kile kitu chenye mfano wa kiti cha ufalme kulikuwa na mfano wa mtu anayeonekana kama mtu wa udongo juu yake,+ upande wa juu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki