6Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+
17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+
26 Na juu ya anga lililokuwa juu ya kichwa chao kulikuwa na kitu kinachoonekana kama jiwe la yakuti,+ mfano wa kiti cha ufalme.+ Na juu ya kile kitu chenye mfano wa kiti cha ufalme kulikuwa na mfano wa mtu anayeonekana kama mtu wa udongo juu yake,+ upande wa juu.