Amosi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.” Zekaria 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na watu watakaa ndani yake; wala kutengwa kwa ajili ya maangamizi hakutatokea tena,+ na Yerusalemu litakaliwa katika usalama.+
15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.”
11 Na watu watakaa ndani yake; wala kutengwa kwa ajili ya maangamizi hakutatokea tena,+ na Yerusalemu litakaliwa katika usalama.+