40 Na nchi tambarare yote ya chini ya mizoga+ na ya majivu yenye mafuta,+ na matuta yote mpaka bonde la mto la Kidroni,+ mpaka kwenye pembe ya Lango la Farasi+ kuelekea mashariki, itakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova.+ Haitang’olewa, wala haitabomolewa tena mpaka wakati usio na kipimo.”+