2 Wafalme 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakamkamata, akafika kando ya njia ya mlango wa farasi+ wa nyumba ya mfalme,+ naye akauawa huko.+ 2 Mambo ya Nyakati 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi wakamkamata. Alipofika katika mwingilio wa lango la farasi la nyumba ya mfalme, wakamuua hapo mara moja.+ Nehemia 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Makuhani wakafanya kazi ya kurekebisha juu ya Lango la Farasi,+ kila mmoja mbele ya nyumba yake mwenyewe.
16 Basi wakamkamata, akafika kando ya njia ya mlango wa farasi+ wa nyumba ya mfalme,+ naye akauawa huko.+
15 Basi wakamkamata. Alipofika katika mwingilio wa lango la farasi la nyumba ya mfalme, wakamuua hapo mara moja.+
28 Makuhani wakafanya kazi ya kurekebisha juu ya Lango la Farasi,+ kila mmoja mbele ya nyumba yake mwenyewe.