Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Kutoka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yule anayempiga mtu na kumuua lazima atauawa.+ Mambo ya Walawi 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Na ikiwa mtu ataipiga nafsi yoyote ya mwanadamu kiasi cha kuiua, lazima atauawa.+ Hesabu 35:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Kila mwenye kupiga nafsi na kuiua anapaswa kuuawa akiwa muuaji wa kukusudia+ kwa kinywa cha mashahidi,+ na shahidi mmoja hawezi kutoa ushuhuda juu ya nafsi ili afe.
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
30 “‘Kila mwenye kupiga nafsi na kuiua anapaswa kuuawa akiwa muuaji wa kukusudia+ kwa kinywa cha mashahidi,+ na shahidi mmoja hawezi kutoa ushuhuda juu ya nafsi ili afe.