Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha mashahidi watatu+ anayekufa atauawa. Hatauawa kwa kinywa cha shahidi mmoja.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+

  • Mathayo 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+

  • Yohana 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pia, katika Sheria yenu wenyewe imeandikwa, ‘Ushahidi wa watu wawili ni wa kweli.’+

  • 2 Wakorintho 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+

  • 1 Timotheo 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usikubali shtaka juu ya mwanamume mzee, isipokuwa tu kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.+

  • Waebrania 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki