Kumbukumbu la Torati 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha mashahidi watatu+ anayekufa atauawa. Hatauawa kwa kinywa cha shahidi mmoja.+ Kumbukumbu la Torati 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+ Mathayo 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+ Yohana 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, katika Sheria yenu wenyewe imeandikwa, ‘Ushahidi wa watu wawili ni wa kweli.’+ 2 Wakorintho 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+ 1 Timotheo 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usikubali shtaka juu ya mwanamume mzee, isipokuwa tu kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.+ Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
6 Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha mashahidi watatu+ anayekufa atauawa. Hatauawa kwa kinywa cha shahidi mmoja.+
15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+
16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+
13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+