45“ ‘Na wakati ninyi mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mtamtolea Yehova mchango,+ fungu takatifu kutoka katika nchi;+ urefu wake utakuwa mikono 25,000, nao upana wake 10,000.+ Litakuwa fungu takatifu katika mipaka yake yote kuzunguka pande zote.
17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+