22 Na itatukia kwamba mtajigawia wenyewe iwe urithi+ kwenu na kwa wakaaji wageni wanaokaa wakiwa wageni katikati yenu,+ ambao wamezaa wana katikati yenu. Nao watakuwa kwenu kama mwenyeji katikati ya wana wa Israeli. Pamoja nanyi wataanguka katika urithi kwa kura katikati ya makabila ya Israeli.+