Ezekieli 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “‘Mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mnapaswa kumtolea Yehova sehemu takatifu ya nchi kuwa mchango.+ Inapaswa kuwa na urefu wa mikono 25,000,* na upana wa mikono 10,000.+ Eneo hilo lote litakuwa* sehemu takatifu. Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 45:1 w99 3/1 10, 17 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 45:1 Ibada Safi, kur. 219-220 Mnara wa Mlinzi,3/1/1999, kur. 10, 17
45 “‘Mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mnapaswa kumtolea Yehova sehemu takatifu ya nchi kuwa mchango.+ Inapaswa kuwa na urefu wa mikono 25,000,* na upana wa mikono 10,000.+ Eneo hilo lote litakuwa* sehemu takatifu.