Ezekieli 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “ ‘Na wakati ninyi mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mtamtolea Yehova mchango,+ fungu takatifu kutoka katika nchi;+ urefu wake utakuwa mikono 25,000, nao upana wake 10,000.+ Litakuwa fungu takatifu katika mipaka yake yote kuzunguka pande zote. Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 45:1 w99 3/1 10, 17 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 45:1 Ibada Safi, kur. 219-220 Mnara wa Mlinzi,3/1/1999, kur. 10, 17
45 “ ‘Na wakati ninyi mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mtamtolea Yehova mchango,+ fungu takatifu kutoka katika nchi;+ urefu wake utakuwa mikono 25,000, nao upana wake 10,000.+ Litakuwa fungu takatifu katika mipaka yake yote kuzunguka pande zote.