Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Edomu itakuwa miliki,+

      Naam, Seiri+ itakuwa miliki ya adui zake,+

      Huku Israeli akionyesha uhodari wake.

  • Isaya 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wataruka juu ya bega la Wafilisti upande wa magharibi;+ wakiwa pamoja watawapora wana wa Mashariki.+ Watanyoosha mkono wao juu ya Edomu na Moabu,+ na wana wa Amoni watakuwa raia zao.+

  • Obadia 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao watamiliki Negebu, eneo lenye milima la Esau,+ na Shefela, ya Wafilisti.+ Nao watamiliki shamba la Efraimu+ na shamba la Samaria;+ na Benyamini atamiliki Gileadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki