14 Nao wataruka juu ya bega la Wafilisti upande wa magharibi;+ wakiwa pamoja watawapora wana wa Mashariki.+ Watanyoosha mkono wao juu ya Edomu na Moabu,+ na wana wa Amoni watakuwa raia zao.+
19 Nao watamiliki Negebu, eneo lenye milima la Esau,+ na Shefela, ya Wafilisti.+ Nao watamiliki shamba la Efraimu+ na shamba la Samaria;+ na Benyamini atamiliki Gileadi.+