42 Na kutoka kwao kulikuwa na baadhi ya wana wa Simeoni walioenda katika Mlima Seiri,+ watu mia tano, pamoja na Pelatia na Nearia na Refaya na Uzieli wana wa Ishi wakiwa mbele yao.
14 ‘Nami nitaleta kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli;+ nao watafanya katika Edomu kulingana na hasira yangu na kulingana na ghadhabu yangu; nao watalazimika kujua kisasi changu ni nini,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’