Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kupitia njia ya Mlima Seiri mpaka Kadesh-barnea.+