26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.
23 Na Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea,+ na kusema, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo nitawapa ninyi!’ ndipo mkaasi agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkumwamini+ wala hamkuisikiliza sauti yake.+
7 Nilikuwa na umri wa miaka 40 wakati Musa mtumishi wa Yehova aliponituma kutoka Kadesh-barnea kwenda kuipeleleza nchi,+ nami nikamletea habari kama vile ilivyokuwa ndani ya moyo wangu.+