19 “Halafu tukaondoka Horebu na kupiga mwendo kupitia nyika yote hiyo iliyo kuu na yenye kutia woga,+ ambayo mmeiona, kupitia eneo lenye milima la Waamori,+ kama vile Yehova Mungu wetu alivyokuwa ametuamuru; na mwishowe tukafika Kadesh-barnea.+
6 Ndipo wana wa Yuda wakamkaribia Yoshua katika Gilgali,+ na Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi,+ akamwambia: “Wewe unajua vema lile neno ambalo Yehova alimwambia+ Musa yule mtu wa Mungu wa kweli+ juu yangu na juu yako kule Kadesh-barnea.+