Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Halafu tukaondoka Horebu na kupiga mwendo kupitia nyika yote hiyo iliyo kuu na yenye kutia woga,+ ambayo mmeiona, kupitia eneo lenye milima la Waamori,+ kama vile Yehova Mungu wetu alivyokuwa ametuamuru; na mwishowe tukafika Kadesh-barnea.+

  • Yoshua 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo wana wa Yuda wakamkaribia Yoshua katika Gilgali,+ na Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi,+ akamwambia: “Wewe unajua vema lile neno ambalo Yehova alimwambia+ Musa yule mtu wa Mungu wa kweli+ juu yangu na juu yako kule Kadesh-barnea.+

  • Zaburi 29:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Sauti ya Yehova huifanya nyika itetemeke,+

      Yehova huifanya nyika ya Kadeshi+ itetemeke.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki