Isaya 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo sababu nitaifadhaisha mbingu,+ na dunia itatikisika itoke mahali pake kutokana na ghadhabu ya Yehova wa majeshi+ na katika siku ya hasira yake inayowaka.+ Waebrania 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+
13 Ndiyo sababu nitaifadhaisha mbingu,+ na dunia itatikisika itoke mahali pake kutokana na ghadhabu ya Yehova wa majeshi+ na katika siku ya hasira yake inayowaka.+
26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+