26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.
19 “Halafu tukaondoka Horebu na kupiga mwendo kupitia nyika yote hiyo iliyo kuu na yenye kutia woga,+ ambayo mmeiona, kupitia eneo lenye milima la Waamori,+ kama vile Yehova Mungu wetu alivyokuwa ametuamuru; na mwishowe tukafika Kadesh-barnea.+