Hesabu 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 isipokuwa Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi na Yoshua+ mwana wa Nuni, kwa sababu wamemfuata Yehova kikamilifu.’ Yoshua 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu ya Kalebu, akaliteka. Basi akampa Aksa+ binti yake awe mke wake.
12 isipokuwa Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi na Yoshua+ mwana wa Nuni, kwa sababu wamemfuata Yehova kikamilifu.’
17 Ndipo Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu ya Kalebu, akaliteka. Basi akampa Aksa+ binti yake awe mke wake.