Isaya 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wataruka juu ya bega la Wafilisti upande wa magharibi;+ wakiwa pamoja watawapora wana wa Mashariki.+ Watanyoosha mkono wao juu ya Edomu na Moabu,+ na wana wa Amoni watakuwa raia zao.+ Amosi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ili kwamba wamiliki mabaki ya Edomu,+ na mataifa yote ambayo juu yao jina langu limeitwa,’+ asema Yehova, anayefanya hayo.
14 Nao wataruka juu ya bega la Wafilisti upande wa magharibi;+ wakiwa pamoja watawapora wana wa Mashariki.+ Watanyoosha mkono wao juu ya Edomu na Moabu,+ na wana wa Amoni watakuwa raia zao.+
12 ili kwamba wamiliki mabaki ya Edomu,+ na mataifa yote ambayo juu yao jina langu limeitwa,’+ asema Yehova, anayefanya hayo.