Yeremia 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+ Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+Nitawafanya kuwa wengi,*Nao hawatakuwa duni.+
19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+ Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+Nitawafanya kuwa wengi,*Nao hawatakuwa duni.+