5 Yehova Mungu wako kwa kweli atakuleta katika nchi ambayo baba zako walimiliki, nawe utaimiliki; naye kwa kweli atakufanyia mema na kukuzidisha wewe kuliko baba zako.+
6 Katika siku zinazokuja Yakobo atatia mizizi, Israeli+ atachanua maua na kwa kweli achipuke; na kwelikweli wao watajaza matunda juu ya uso wa nchi yenye kuzaa.+
22 Kama jeshi la mbinguni lisivyoweza kuhesabiwa, wala mchanga wa bahari kupimwa,+ ndivyo nitakavyouzidisha uzao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaonihudumia.’”+