16 Nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mavumbi ya dunia, ili, ikiwa mwanadamu angeweza kuzihesabu chembe za mavumbi ya dunia, basi uzao wako ungeweza kuhesabiwa.+
17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
37 Yehova amesema hivi: “‘Mbingu zilizo juu zikiweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini ikiweza kuchunguzwa,+ vivyo hivyo mimi mwenyewe ningeweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’+ asema Yehova.”
12 Kwa sababu hiyo pia kutoka kwa mwanamume mmoja,+ naye akiwa kana kwamba ni mfu,+ kulizaliwa watoto kama vile nyota za mbinguni kwa wingi na kama mchanga ulio kando ya bahari, usiohesabika.+