Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mavumbi ya dunia, ili, ikiwa mwanadamu angeweza kuzihesabu chembe za mavumbi ya dunia, basi uzao wako ungeweza kuhesabiwa.+

  • Mwanzo 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akamtoa nje na kusema: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.”+ Naye akaendelea kumwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+

  • Mwanzo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+

  • Yeremia 31:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Yehova amesema hivi: “‘Mbingu zilizo juu zikiweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini ikiweza kuchunguzwa,+ vivyo hivyo mimi mwenyewe ningeweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’+ asema Yehova.”

  • Waebrania 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo pia kutoka kwa mwanamume mmoja,+ naye akiwa kana kwamba ni mfu,+ kulizaliwa watoto kama vile nyota za mbinguni kwa wingi na kama mchanga ulio kando ya bahari, usiohesabika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki