-
Isaya 66:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Ni nani amewahi kusikia jambo kama hilo?
Ni nani ameona mambo kama hayo?
Je, nchi itazaliwa katika siku moja?
Au, je, taifa lote litazaliwa mara moja?
Hata hivyo, mara tu Sayuni aliposhikwa na uchungu wa kuzaa, aliwazaa wanawe.
-