Isaya 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+ roho ya hekima+ na ya uelewaji,+ roho ya shauri na ya nguvu,+ roho ya ujuzi+ na ya kumwogopa Yehova;+ Yohana 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+
2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+ roho ya hekima+ na ya uelewaji,+ roho ya shauri na ya nguvu,+ roho ya ujuzi+ na ya kumwogopa Yehova;+
33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+