Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Utabarikiwa uzao wa tumbo+ lako na mazao ya udongo wako na uzao wa mnyama wako wa kufugwa,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+

  • Isaya 55:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+

  • Isaya 55:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini mnaendelea kulipa pesa kwa ajili ya kitu ambacho si mkate, na kwa nini kazi yenu ni kwa ajili ya kitu ambacho hakishibishi?+ Nisikilizeni kwa makini, na mle yaliyo mema,+ na nafsi yenu ipate furaha tele katika unono.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki