Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nami nitageuka kwenu+ na kuwawezesha kuzaana na kuwazidisha ninyi,+ nami nitatimiza agano langu pamoja nanyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye hakika atakupenda na kukubariki+ na kukuzidisha+ na kubariki uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ nafaka yako na divai yako mpya na mafuta yako, watoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako,+ kwenye nchi aliyowaapia mababu zako ya kwamba atakupa wewe.+

  • Zaburi 127:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+

      Uzao wa tumbo ni thawabu.+

  • Zaburi 128:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mke wako atakuwa kama mzabibu unaozaa matunda+

      Katika sehemu za ndani kabisa za nyumba yako.

      Wana wako watakuwa kama miche ya mizeituni+ kuizunguka meza yako pande zote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki