-
Zaburi 144:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Wanaosema: “Wana wetu ni kama mimea michanga iliyokua wakati wa ujana wao,+
Binti zetu ni kama nguzo za pembeni zilizochongwa kwa mtindo wa jumba la mfalme,
-