Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 52:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;

      Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Zaburi 144:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wanaosema: “Wana wetu ni kama mimea michanga iliyokua wakati wa ujana wao,+

      Binti zetu ni kama nguzo za pembeni zilizochongwa kwa mtindo wa jumba la mfalme,

  • Hosea 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Matawi yake yatasambaa, na utukufu wake utakuwa kama ule wa mzeituni,+ na harufu yake nzuri itakuwa kama ile ya mti wa Lebanoni.

  • Waroma 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa kutoka kwenye mzeituni ulio wa asili ya mwituni na kupandikizwa+ kinyume cha asili katika mzeituni wa bustanini, si afadhali zaidi kwamba hawa walio wa asili wapandikizwe katika mzeituni wao wenyewe!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki